Skip to main content

Posts

KUPASUKA MIGUU ( NYAYO )

jipake maji ya limao yaliyochanganywa na mafuta mgando asubuhi na jioni.

MTOTO ANAPEWA MAJI AKIWA NA UMRI GANI?

Umri sahihi wa kuanza kumpa mtoto maji ya kunywa ni kuanzia miez sita chini ya hapo maji hayatikiw kwa mtoto. Kwanin maji hayatakiw kwa mtoto? Maziwa ya mama yana asilimia zaidi ya hamsin ya maji, hivyo maji yaliopo kwenye maziwa ya mama yanamtosha kabisa mtoto .Kwa wale wanaotumia formula fata maelekezo kwani maji unayotumia kuchanganya yanamtosha kabisa mtoto Hivyo usimpe mtoto maji aliye chin ya miez sita maji. Isipokuwa umeelekezwa na Daktari wako wa watoto. Mtoto akipata kwikw usimpe maji mnyonyeshe kwikw itaisha au mpe maziwa unayompa . Madhara ya kumpa mtoto maji aliyechin ya miez sita nii: Maji yanazuia uwezo wa mtoto kuabsorb virutubisho vilivyopo kwenye maziwa. Maji humjaza tumbo mtoto na hivyo kumfanya anyonye kidogo . Mtoto kupungua uzito. Mtoto kutopenda kula na kupenda kunywa maji tuu .kusababisha water intoxication hii ni hali ambayo electroyte kama sodium zinakuwa diluted na maji kwa sababu maji yapo mengi hivyo kupelekea mtoto kuharisha na kutapika mara ...

VIDONDA VYA TUMBO ( ULCER )

VIDONDA VYA TUMBO NI NINI ?. Vidonda vya tumbo ni matokeo ya kuharibika kwa uteute wa ndani ya ukuta wa tumbo la Chakula au ndani ya utumbo mdogo wa Chakula na matokeo yake ni ukuta wa tumbo kugusana na tindikali iliyoko tumboni ambayo ni kali sana. NINI HUSABABISHA vidonda vya tumbo husababishwa na maambukizi ya bacteria waitwao HELICOBACTER PYLORI, aidha matumizi ya baadhi ya dawa za kutuliza maumivu za jamii ya Nonsteroids anti inflammatory drugs huweza kusababisha uwezekano wa kupata ugonjwa huu, Vidonda vya tumbo vinaweza kujitokeza katika utumbo mdogo na katika tumbo la Chakula na pia ni Mara chache huweza kujitokeza katika koo la Chakula ambapo hapakukusudiwa kustahimili tindikali ya tumbo. Kuna Aina tatu za Vidonda vya Tumbo(peptic ulcers). 1.GASTRIC ULCERS. Hivi ni vidonda vinavyotokea katika mfumo wa Chakula yani tumboni. 2.DUODENAL ULCERS. Hivi ni vidonda vinavyotokea katika utumbo mdogo. 3.OESOPHAGEALS ULCERS. Hivi ni vidonda vinavyotokea katika k...

MADHARA YA KITUNGUU THAUM.

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.

Zifahamu Nutrients na madini muhimu kwa Nguvu za Kiume. Siku hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kwa maana ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wakati wa kufanya mapenzi, kushindwa kuendelea kusimamisha hadi mwisho wa tendo na kushindwa kurudia tendo hadi kuwaridhisha wenzi wao. Kadhalika wengine wamekuwa na tatizo la mbegu zao za kiume kutokuwa na umbile bora (sperm abnormalities) linaloziwezesha kusafiri kwa kasi ya kutosha katika uke wa mwanamke (sperm motility). Aidha wengine shahawa zao zina mbegu kidogo (low sperm count). Mwanaume anapomwaga shahawa wakati wa kufanya mapenzi shahawa hizo hupaswa kuwa na mbegu za kiume kiasi cha milioni 50 kwa kila milimita moja ya shahawa. Endapo kiasi hicho kitapungua chini ya miioni 20 uwezo wa uzazi (fertility) wa mwanaume huwa na kasoro. Matatizo yote hayo yanatokana na wanaunaume wengi kutokula vyakula sahihi au ulaji wa vyakula hivyo kwa kiwango kidogo ikilinganishwa na mahitaji ya m...

NAMNA YA KUONDOA TATIZO LA KUPATA CHOO KIGUMU.

Kwanza kabisa matatizo tajwa hapo hayana sababu Ya moja kwa moja bila ya kupata vipimo vya kitaalam kugundua tatizo Ni nini ktk mfumo mzima wa umeng'enyaji wa chakula lkn hudhaniwa kuwa upungufu wa maji ktk umeng'enyaji wa chakula, uhaba wa vyakula vyenye nyuzi nyuzi (Fiber food), uwingi wa vyakula vya protein mfano Mayai n.k hupelekea matatizo hayo tajwa..... Tatizo hili laweza kukuondoka bila shaka ukizingatia yafuatayo (Diet na matibabu asilia) BiidhniAllah.... DIET Ktk diet yakupasa kuviendea vyakula na matatunda yenye Asili ya nyuzi nyizi na mfano wa vyakula na matunda hayo Ni kama ifuatavyo VYAKULA ♻ Brown rice (wali wa brown) ♻ whole wheat bread/Brown Bread (Mkate wa Brown) ♻ White Beans (maharage meupe) ♻ Black Beans (Maharage meusi) ♻ Oats meals (zapatikana Sanaa supermarket) ♻ Broccolis ♻ pumpkin (Maboga) ♻ viazi vitamu (chemsha na maganda yake ule hivyo hivyo usitoe kitu) ♻ Tende ♻ na jamii zinginezo za vyakula vya ngano MATUNDA ♻ Apples (red a...

TATIZO LA MENINJITISI

Ni inflamesheni ya tando zinazofunika na kuukinga ubongo na uti wa mgongo , sehemu inayojulikana kwa kijumla kama meninjesi. Inflamisheni hii inaweza kusababishwa na maambukizi ya virusi,bakteria,au na vimelea wengine. (Inflamisheni humaanisha  maumivu.) Dalili za meninjitisi zinazotokea mara nyingi ni maumivu ya kichwa na kukazika kwa shingo , hali inayohusishwa na homa , kuchanganyikiwa au ufahamu uliogeuka, kutapika, na kukosa uwezo wa kustahimili mwanga (fotofobia ) au kelele kali ( fonofobia ). Mara nyingi watoto hudhihirisha dalili zisizo mahususi pekee kama vile kizunguzungu na kuwashwa. Uwepo waupele unaweza kuwa dalili ya kisababishi maalumu cha meninjitisi; kwa mfano, meninjitisi inayosababishwa na bakteria aina ya meningokokasi unaweza kuambatana na upele. Kwa watu wazima, dalili ya meninjitisi inayotokea mara nyingi ni maumivu ya kichwa yaliyo makali, ambayo hutokea kwa karibu asilimia 90 ya visa vya meninjitisi ya kibakteria,ambavyo hufuatwa na ku...