Skip to main content

Posts

Showing posts from November 4, 2017

KUVIMBA MWILI

Assalamu alaikum  Kwa mtu mwenye tatizo kama hili anatakiwa achukue kamun (bizari ile inayopikiwa pilau ) na karawiya kiingereza inaitwa caraway. Hakikisha kila moja ni ujazo sawa na ponda iwe unga laini. Kisha tia kijiko kimoja cha unga huo kwa Maji vuguvugu glass moja na unywe yote. Hakikisha unakunywa asubuhi kabla hajakula kitu kwa mda wa siku 30. In shaa llah utapona. Kwa tiba ya aina yeyote wasiliana nami.