chukua kijiko kimoja cha unga wa mdalasini na utie katika Maji glass moja na uchemshe kwa mda wa dakika tano. Kisha epua na uache ipoe. Baada ya hapo utakuwa ukisukutua kila baada ya masaa matatu na baada ya kula. Utafanya zoezi hili mpaka utakapopata matokeo mazuri.