Skip to main content

Posts

Showing posts from October 10, 2017

KUFUNGUA HEDHI

assalamu alaikum, Leo nipeonelea kutoa mada hii maana tatizo hili linawakumba wanawake mbali mbali kwasababu mbali mbali ikiwemo 1. Hormone imbalanced 2. Utumiaji wa dawa za upangaji uzazi. 3. Matatizo ya kijini. Na matatizo mengineo mengi tu. Kwa mtu mwenye tatizo kama hili ana takiwa kwanza ajue tatizo husika ndiposa apate tiba muafaka ili shida imuondokee. Ifuatayo ni tiba ya mtu mwenye tatizo kama hili kwa upande hormone imbalance :- Chukua haltit kijiko kimoja, fulfil abyadh kijiko kimoja, siki kikombe cha chai na Maji Lita moja. Changanya vyote pamoja na iwe unakunywa nusu kikombe kutwa Mara mbili kwa mda wa siku 14. Kwa tiba na ushauri usisite kuwasiliana nami kwa +254732917064.