Skip to main content

Posts

Showing posts from September 2, 2017

MAKATAZO YA MAMBO YAFUATAYO KWA AFYA YAKO.

1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula. 2. Usinywe maji ya baridi. 3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja. 4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari. 5. Usile mayai na maziwa kwa pamoja ni hatari sana. 6. Usile samaki na mayai inaweza sababisha madhara ya ukoma ugonjwa wa kufura viungo. 7. Usile baadae ukaoga hii ni hatari inaweza kukuletea tumbo la.mshipa bora ni uoge ndio ule. 8. Usifanye hijama (kuundama) ukiwa na mkojo inasababisha maradhi ya kibofu cha mkojo. Kwa tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nami.