Skip to main content

Posts

Showing posts from August 30, 2017

TIBA YA UFIZI KUTOKA DAMU

Kunywa na sukutua juisi ya ndimu mara tatu kwa siku. Pia unaweza sukutua maji yaliochanganywa chumvi. Utafanya zoezi hili kwa mda wa siku nne. Kwa tiba kamili ya maradhi haya wasiliana nasi.

NJIA TANO ZA KUPUNGUZA UNENE WA TUMBO

1.pendelea  kula chakula kisichokujaza tumbo.wali wa rangi ya kahawia,mikate ngano nzima ,matunda na mboga za majani. achana na vyakula vya kukaanga kwa mafuta ya mengi.vyakula vya sukari na vyakula vya  uwanga.kama ugali na mihogo.vyakula kama maziwa na samaki   havivimbishi tumbo. 2.Usijaribu  kukaa   na njaa  kwa muda mrefu.kwani unaweza kujakupata vidonda vya tumbo.kula 4 hadi 5 kwa siku,lakini kwa kiasi kidogo sana.Hakikisha huli chakula mpaka unashiba.kama unahisi njaa ni vizuri kula matunda na mboga za majani au hata kachumbari.na kunywa na maji ya kutosha.[sio baridi]utahisi umeshiba. 3. kama unaweza ,pendelea kuogelea mara kwa mara.zowezi hili husaidia kukazanisha misuli ya tumbo. 4.fanya mazowezi mepesi ya misuli ya tumbo,zowezi hilo huhusisha kulala chali na kujaribu kuijinua juu.kwa matokeo mazuri ,fanya mara 2 kwa siku. 5. kunywa maji mengi ambayohusaidia kuyayusha chakula kwa haraka tumboni.Tahadhari,usishibe kabla ya kufanya mazowe...

IJUE TAREHE AMA SIKU NZURI YA MIMBA KUTUNGWA

Leo napenda nizungumzie jambo moja tu ambalo ni juu ya  jambo moja tu, nalo ni namna wanavyoweza kui-pin point siku ile ya kilele (i.e fruitful/productive/fertile day), hapa nina maana ya siku ile ambayo wao wanaiita siku ya 14. Ikumbukwe kuwa wanawake wanatofautiana katika suala zima la urefu wa MENSTRAL CYCLE, yaani idadi ya siku kati ya period ya kwanza hadi ile ya pili inayofuatia. Kundi kubwa la wanawake wana fall kwenye range ya siku 22-35. Japo walio-normal wana siku 28. Vile vile kuna wengine huwa na menstral cycle mbili, yaani fupi na ndefu. Hivyo walio na menstral cycle fupi, *mathalani wale wenye siku 22,* huwa vilevile wana kipindi kifupi sana cha kutokwa na damu (period), yaani damu inaweza kukatika ndani ya siku 2 tu! Na wale wenye siku 35 au zaidi huwa wana kipindi kirefu sana cha kutokwa na damu (period) ambapo wengine huwachukua hata siku kati ya 5 hadi 8. Hivo basi, kama wewe ni mwanaume inakubidi umwelewe vizuri mwenzi wako yaani  mke wako juu ya hayo ...