NINI MAANA YA U.T.I? U.T.I ni kifupi cha maneno ya kiingereza: ‘Urinary tract infections’, ni maambukizi ya bakteria katika njia ya mkojo. Husababishwa na bacteria aina ya clamydia tracomatis, Ni moja ya ugonjwa unaowakumba sana wanawake kwa sehemu kubwa ingawa hata wanaume pia wanapatwa na ugonjwa huu. CHANZO CHA UGONJWA. →Kushikilia mkojo kwa muda mrefu →Kukojoa kwenye maji machafu →Mawe kwenye figo. →Kuongezeka ukubwa wa kibofu cha mkojo. →Upungufu wa maji mwilini →Ajari katika uti wa mgongo →Maji maji na uchafu katika sehemu za siri. →Kufanya ngono na muathilika wa U.T.I →Kujisaidia sana kwenye vyoo vya uma, DALILI ZA U.T.I →kujisikia homa kali. →Kuhisi baridi kali, →maumivu nyuma ya mgongo →Kukojoa mara kwa mara →Mikojo kukutoka pasipo kutaka →Harufu nzito au mbaya ya mkojo →Hali ya kusikia kuungua wakati wa kukojoa →Kupatwa ghafla na hitaji la kutaka kukojoa Mkojo kutoka wa rangi ya njano. →Maumivu kwenye kibofu cha mkojo n...