Leo nataka kutoa tiba ya ASTHMA/PUMU. Tiba hii unaweza kujifanyia wewe mwenyewe. Chukua tembe tano za karafuu na utie kwenye sufuria yenye maji kikombe kimoja, chemsha mpaka ibaki nusu kikombe. Kisha chuja na utie asali safi kijiko kimoja baada ya kupoa. Baada ya hapo kunywa yote kwa mara moja. Utafanya zoezi hili mara mbili kwa siku. Inshaallah utapona.