Skip to main content

TATIZO LA MENINJITISI

Ni inflamesheni ya tando
zinazofunika na kuukinga ubongo na uti wa mgongo , sehemu inayojulikana kwa kijumla kama meninjesi.

Inflamisheni hii inaweza
kusababishwa na maambukizi ya
virusi,bakteria,au na vimelea wengine.

(Inflamisheni humaanisha  maumivu.)

Dalili za meninjitisi zinazotokea mara nyingi ni maumivu ya kichwa na kukazika kwa shingo , hali
inayohusishwa na homa ,
kuchanganyikiwa au ufahamu
uliogeuka, kutapika, na kukosa uwezo wa kustahimili mwanga (fotofobia ) au kelele kali
( fonofobia ).

Mara nyingi watoto hudhihirisha dalili zisizo mahususi pekee kama vile kizunguzungu na kuwashwa. Uwepo waupele unaweza kuwa dalili ya kisababishi maalumu cha meninjitisi;

kwa mfano, meninjitisi
inayosababishwa na bakteria aina ya meningokokasi unaweza kuambatana na upele.

Kwa watu wazima, dalili ya meninjitisi inayotokea mara nyingi ni maumivu ya kichwa yaliyo makali, ambayo hutokea kwa karibu asilimia 90 ya visa vya meninjitisi ya kibakteria,ambavyo hufuatwa na kukazika kwa sehemu ya nyuma ya shingo (ukosefu wa uwezo wa kuinamisha shingo kufuatia ongezeko la uzito wa misuli
ya shingo na kukazana).

Dalili tatu maarufu za kiutambuzi
huhusisha kukazana kwa sehemu ya nyuma ya shingo, homa kali , na hali ya kiakili iliyogeuka; hata hivyo, sifa hizi zote tatu hupatikana katika asilimia 44-46 ya visa vya meninjitisi ya kibakteria.

Tiba ya tatizo hili lina hatua maalumu hivyo kama unatatizo hili ni bora tuwasiliane.

+254732917064

Popular posts from this blog

TIBA YA MTU ALIEINGIWA NA JINNI SUGU.

kabla sijatoa tiba yake, ni lazima ujue unatibu nini na kwanini ni jinni. Maana zipo dalili mbalimbali zinazoonyesha mgonjwa amehusudiwa na jini na ni jini aina gani aliemuingilia muhusika. Zifuatazo ni aina na utaratibu wa kumtibu jini sugu. Dawa za kula. Habbatsaudai Habbatsufa Bakahadi Manimani Uzile Habbat rehani Karkam Halilinji Alhamza Kamun aswad Zamda Khardal Daarfilfil Filfil aswad Haltit Zaatar Harmal Sufa nyeupe Manimani Shomari Udinadi Ulinjani Sakabanji Kamun abyadh Uwatu Giligilani Karafuu Tangawizi Mdalasini Maua waridi Hakikisha dawa hizi umezitwanga na kuwa laini kisha utachukua kijiko kimoja cha kila dawa na kuchanganya kwenye asali safi ya nyuki lita moja na uisomee ruqya na mgonjwa awe anakunywa vijiko viwili mara tatu kwa siku kwa mda wa siku 30. NB Hakikisha wakati mgonjwa anatumia dawa za kula ambatanishe na za kujifukiza pamoja na za kujipaka. DAWA ZA KUFUKIZA kiribiti upele Sandarusi Haltit Karafuu maiti Mruturutu ...

KUONDOSHA MARADHI YA SUBIAN NA KUONDOA WASIWASI

Kwa mtu mwenye matatizo hayo achukue dawa zifuatazo :- - unga wa ambari nyeusi. - unga wa mvuje. - unga wa kitunguu thaum. - mafuta ya uto. - mafuta original ya zaituni. Maelezo Changanya na iwe unajipaka mwili mzima asubuhi na jioni kwa mda wa siku 21.

UTOSI KUINGIA NDANI KWA MTOTO MCHANGA.

chukua manjano mbichi iponde iwe laini sana, kisha chukua pamba na uiweke ile dawa, kisha muekee mtoto mchanga aliena tatizo hilo utosini. In shaa allah utosi utarudi sawa. Utafanya hivyo kwa siku mara moja mpaka tatizo litakapokwisha.