Kwanza kabisa matatizo tajwa hapo hayana sababu Ya moja kwa moja bila ya kupata vipimo vya kitaalam kugundua tatizo Ni nini ktk mfumo mzima wa umeng'enyaji wa chakula lkn hudhaniwa kuwa upungufu wa maji ktk umeng'enyaji wa chakula, uhaba wa vyakula vyenye nyuzi nyuzi (Fiber food), uwingi wa vyakula vya protein mfano Mayai n.k hupelekea matatizo hayo tajwa.....
Tatizo hili laweza kukuondoka bila shaka ukizingatia yafuatayo (Diet na matibabu asilia) BiidhniAllah....
DIET
Ktk diet yakupasa kuviendea vyakula na matatunda yenye Asili ya nyuzi nyizi na mfano wa vyakula na matunda hayo Ni kama ifuatavyo
VYAKULA
♻ Brown rice (wali wa brown)
♻ whole wheat bread/Brown Bread (Mkate wa Brown)
♻ White Beans (maharage meupe)
♻ Black Beans (Maharage meusi)
♻ Oats meals (zapatikana Sanaa supermarket)
♻ Broccolis
♻ pumpkin (Maboga)
♻ viazi vitamu (chemsha na maganda yake ule hivyo hivyo usitoe kitu)
♻ Tende
♻ na jamii zinginezo za vyakula vya ngano
MATUNDA
♻ Apples (red apples)
♻ Parachichi
♻ Maembe
♻ ndizi mbivu (zakuiva)
♻ pears za kuiva
♻ bila kusahau Almonds (lozi) n.k
KTK MATIBABU YA ASILIA (Tumia vitu vifuatavyo kwa pamoja)
♻ Olive oil (mafuta ya zaituni)
đź’‰Matumizi: Kunywa kijiko kimoja cha chakula asubuhi na jioni
♻ mafuta ya Habbat souda
đź’‰Matumizi: Kunywa kijiko cha chai asubuhi na jioni
♻ Apple cider vinegar
đź’‰Matumizi: Changanya kijiko kimoja cha chakula cha hii dawa ktk kikombe cha maji ya vuguvugu kunywa yote fanya hivi kwa asubuhi na jioni
♻ Moringa powder
đź’‰Matumizi: Changanya kiasi cha kijiko cha chakula ktk maji ya vuguvugu Kisha kunywa yote fanya hivyo asubuhi na jioni
*Ushauri wangu*
đź’‰ punguza Kula vyakula vya protein nyingi Sanaa yaani mayai maziwa nyama n.k jitahidi kunywa maji kwa wingi sanaaaa....
đź’‰Kama unauwezo wa kifedha tumia mafuta ya zaituni kwa wingi sanaa ktk kuandaa vyakula vyako.
Kwa kutibu tatizo hili kabisa na matatizo ya magonjwa mengine tofauti wasiliana nami.
+254732917064
Tatizo hili laweza kukuondoka bila shaka ukizingatia yafuatayo (Diet na matibabu asilia) BiidhniAllah....
DIET
Ktk diet yakupasa kuviendea vyakula na matatunda yenye Asili ya nyuzi nyizi na mfano wa vyakula na matunda hayo Ni kama ifuatavyo
VYAKULA
♻ Brown rice (wali wa brown)
♻ whole wheat bread/Brown Bread (Mkate wa Brown)
♻ White Beans (maharage meupe)
♻ Black Beans (Maharage meusi)
♻ Oats meals (zapatikana Sanaa supermarket)
♻ Broccolis
♻ pumpkin (Maboga)
♻ viazi vitamu (chemsha na maganda yake ule hivyo hivyo usitoe kitu)
♻ Tende
♻ na jamii zinginezo za vyakula vya ngano
MATUNDA
♻ Apples (red apples)
♻ Parachichi
♻ Maembe
♻ ndizi mbivu (zakuiva)
♻ pears za kuiva
♻ bila kusahau Almonds (lozi) n.k
KTK MATIBABU YA ASILIA (Tumia vitu vifuatavyo kwa pamoja)
♻ Olive oil (mafuta ya zaituni)
đź’‰Matumizi: Kunywa kijiko kimoja cha chakula asubuhi na jioni
♻ mafuta ya Habbat souda
đź’‰Matumizi: Kunywa kijiko cha chai asubuhi na jioni
♻ Apple cider vinegar
đź’‰Matumizi: Changanya kijiko kimoja cha chakula cha hii dawa ktk kikombe cha maji ya vuguvugu kunywa yote fanya hivi kwa asubuhi na jioni
♻ Moringa powder
đź’‰Matumizi: Changanya kiasi cha kijiko cha chakula ktk maji ya vuguvugu Kisha kunywa yote fanya hivyo asubuhi na jioni
*Ushauri wangu*
đź’‰ punguza Kula vyakula vya protein nyingi Sanaa yaani mayai maziwa nyama n.k jitahidi kunywa maji kwa wingi sanaaaa....
đź’‰Kama unauwezo wa kifedha tumia mafuta ya zaituni kwa wingi sanaa ktk kuandaa vyakula vyako.
Kwa kutibu tatizo hili kabisa na matatizo ya magonjwa mengine tofauti wasiliana nami.
+254732917064