Skip to main content

Posts

KUNG'ARISHA USO NA KUTOA MADOA DOA USONI. Chukua uwatu usage mpaka uwe laini sana. Kisha utaosha uso wako kwa maji vuguvugu na ukaushe kabisa. Baada ya hapo utachukua unga wa uwatu kijiko kimoja na utachanganya maji ya kawaida ama maji ya waridi mpaka iwe marham/rojo (paste) na utajipaka usoni na kuiacha ikauke kwa mda wa dakika 10-15 na utaosha na kupaka mafuta yako. NB Hakikisha zoezi hili unalifanya mara tatu kwa wiki kwa ajili ya matokeo mazuri. Na ni bora ukifanya usiku kabla hujalala.
NAMNA YA KUTENGENEZA SIKI YA APPLE. Mahitaji - apple mbili - Kopo lililo na mfuniko. - sukari - maji Matayarishi Unachukua apple unazikatakata vipande vidogo vidogo, kisha unavitia ndani ya lile kopo kisha unatia maji kwenye lile kopo na kuweka sukari hakikisha glass moja ya maji kwa sukari kijiko kimoja, tia maji kwenye kopo Baada ya hapo funika na na uhifadhi sehemu salama. Hakikisha unakoroga kila baada ya siku kadhaa. Utaacha kwa mda wa siku 14. Kisha chuja na hifadhi kwenye friji ili ikae mda mrefu. Baada ya mda kuisha itakuwa siki tayari na unaweza kuijaribu kwa kuionja ama kusikiliza harufu yake. Siki mara nyingi inatumiwa kama dawa, kiungo katika kupikia ama kusafishia vyombo.

MOYO KUPANUKA

Moyo kupanuka au kuwa mkubwa ni tatizo ambalo huathiri utendaji wa mfumo wa usambazaji damu mwilini. Ni hali inayosababishwa na ukinzani wa moyo jinsi unavyotoa na kuingiza damu katika mishipa ya moyo na kuelekea sehemu mbalimbali za mwili. Moyo kupanuka kutokana na kutokana na mazingira ya kusukuma damu kwa nguvu ya ziada tofauti na kawaida, hivyo kusababisha misuli ya moyo kuharibika. Wakati mwingine moyo hutanuka bila sababu zinazojulikana moja kwa moja. Pia, wakati mwingine moyo unaweza kutanuka kwa kipindi kifupi kutokana na mgandamizo kwenye mwili wako mfano ujauzito. Hali nyingine ni tatizo la moyo ulilozaliwa nalo, kuharibika kwa moyo kutokana na mshtuko wa moyo, kudhoofu kwa misuli ya moyo au moyo kutodunda kwa mpangilio. Mazingira hayo huweza kusababisha moyo kutanuka. Hali zingine za kiafya zinazohusiana na moyo kutanuka ni kama zifuatazo: Kupanda kwa shinikizo la damu Hali hii husababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu zaidi ili kuifikisha sehe...

KICHOMI

  Kichomi   ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya. Ukipatwa muda mrefu au kila wakati ; basi, chunguza zaidi. Kichomi husababishwa au kinaweza kuwa. Dalili ya matatizo ya tumbo lenye asidi (acid) kuzidi Dalili za ugonjwa wa moyo uitwao Ischemic Jambo la kuangalia ni je? Unashikwa kichomi ukiwa unatembea? Umeinama au umelala Ukishakula chakula Kama unapatwa kichomi wakati ukitembea au ukishafanya mazoezi makali ina maana kuna tatizo la damu kuingia sawasawa au kuzunguka (circulation) katika moyo. Kama unapatwa kichomi baada ya kula ina maana kuna tatizo katika chakula unachokula. Je mlo wako una acid(uchachu) sana? Je, unakula vyakula vyenye pilipili na binzari(spices) kwa wingi sana? Kama una kula sana vyakula vyenye asidi ina maana tumbo lako halimeng’enyui sawasawa linachoka. Kawaida binadamu unabidi kubadili badili ulaji. Usirudie vitu fulani fulani kila siku. Mathalan usiweke pilipili katika kila mlo. Tatizo ji...

FIBROID

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi. Kuna aina kuuzifuatazo za fibroids:  1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)  2.Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)  3. Subserosal(nje ya kizazi).  Watu wafuatao wako hatarini ya kupata ugonjwa huu fibroids  1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa  2.Miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma  3.Kurithi  4.Unene  5.Kuingia hedhi mapema Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma....

UTATIZO LA UGUMBA KWA WANAWAKE

Ugumba kwa mwanamke ni tatizo la mwanamke kushindwa kushika mimba licha ya kushiriki kufanya mapenzi na mwanamume bila kutumia kinga. Tatizo la kutoshika mimba kwa kipindi angalau mwaka mmoja huku mwanamke huyo akishiriki kikamilifu ufanyaji mapenzi na mwanamume huitwa ugumba (Sterility). Ugumba kwa mwanamke (Sterility) sio sawa au haina maana sawa na tatizo la mwanamke kutojisikia au kutokuwa na hisia za kufanya mapenzi yaani ‘Frigidity’. Zipo sababu nyingi zinazoweza kufanya mwanamke awe mgumba. Mwanamume pia anaweza kuwa chanzo cha ugumba kwa maana kwamba hana uwezo wa kutungisha mimba. Hivyo,ndio kusema mwanaume kamwe hapaswi kumlaumu mwanamke anayeshirikiana naye kimapenzi kuwa ndiye ‘mgumba’ wakati mwanamume na mwanamke kwa pamoja wana asilimia sawa za kuwa chanzo cha ugumba. Ndio maana mwanamume na mwanamke wanapooana na wakashiriki ngono kikamilifu kwa kipindi cha mwaka mmoja, lakini hakuna dalili za mwanamke kuwa mjamzito, basi wote wawili wanapas...

MAKATAZO YA MAMBO YAFUATAYO KWA AFYA YAKO.

1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula. 2. Usinywe maji ya baridi. 3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja. 4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari. 5. Usile mayai na maziwa kwa pamoja ni hatari sana. 6. Usile samaki na mayai inaweza sababisha madhara ya ukoma ugonjwa wa kufura viungo. 7. Usile baadae ukaoga hii ni hatari inaweza kukuletea tumbo la.mshipa bora ni uoge ndio ule. 8. Usifanye hijama (kuundama) ukiwa na mkojo inasababisha maradhi ya kibofu cha mkojo. Kwa tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nami.