Skip to main content

Posts

DEGEDEGE

Degedege Ni Nini ? Ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono,ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili. Hali hii uhusishwa na magonjwa ya ubongo kama kifafa,vichocheo vya kwenye damu kama upungufu wa sukari(hypoglycemia), upungufu wa oxygen(hypoxia),kushuka kwa shinikizo la damu(hypotension) na maambukizi na homa ya degedege. Homa ni Nini ?. Ni hali ya kawaida ya mwili kushindwa kujikinga na maambukizi. Na kwa watoto hutokea pale joto la mwili linapokuwa zaidi ya nyuzi 38 za sentigredi. Homa ya Degedege Ni Nini ?. Ni degedege linalotokea kwa watoto ghafla likiambatana na homa kali iliyotokana na kuongezeka haraka kwa joto la mwili. Ugonjwa huu utokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano. Watoto wengi ambao hupatwa na ugonjwa huu huwa haiwapelekei baadae kuwa na matatizo ya kudumu kama kupata ugonjwa wa kifafa,niasilimia tatu (3%) tu ambao wanaweza baadae kupata ugonjwa w...

KUNUKA MDOMO.

chukua kijiko kimoja cha unga wa mdalasini na utie katika Maji glass moja na uchemshe kwa mda wa dakika tano. Kisha epua na uache ipoe. Baada ya hapo utakuwa ukisukutua kila baada ya masaa matatu na baada ya kula. Utafanya zoezi hili mpaka utakapopata matokeo mazuri.

PELE ZA KICHWA

kwa mtu mwenye tatizo kama hili achukue manemane na aisage na kuwa unga laini kisha awe ana nyunyizia kichwani sehemu iliyoathirika. Inshaallah utapona na tatizo kuondoka.

KUFUNGUA HEDHI

assalamu alaikum, Leo nipeonelea kutoa mada hii maana tatizo hili linawakumba wanawake mbali mbali kwasababu mbali mbali ikiwemo 1. Hormone imbalanced 2. Utumiaji wa dawa za upangaji uzazi. 3. Matatizo ya kijini. Na matatizo mengineo mengi tu. Kwa mtu mwenye tatizo kama hili ana takiwa kwanza ajue tatizo husika ndiposa apate tiba muafaka ili shida imuondokee. Ifuatayo ni tiba ya mtu mwenye tatizo kama hili kwa upande hormone imbalance :- Chukua haltit kijiko kimoja, fulfil abyadh kijiko kimoja, siki kikombe cha chai na Maji Lita moja. Changanya vyote pamoja na iwe unakunywa nusu kikombe kutwa Mara mbili kwa mda wa siku 14. Kwa tiba na ushauri usisite kuwasiliana nami kwa +254732917064.

MAMBO YAKUFANYA ILI MIMBA IWE SALAMA

Kulingana na Hazina ya Umoja wa Mataifa ya Idadi ya Watu,zaidi ya wanawake nusu milioni hufa kila mwaka kutokana na matatizo yanayohusiana na mimba. Isitoshe,Shirika la Umoja wa Mataifa la Hazina ya Watoto linasema kwamba kila mwaka zaidi ya wanawake milioni 60 huugua vibaya wakiwa wajawazito hivi kwamba karibu thuluthi moja kati yao hupata majeraha au maambukizo yanayodumu muda mrefu.     Katika nchi zinazoendelea, wanawake wengi hupata mimba moja baada ya nyingine,hujifungua, na kujiachilia, jambo ambalo huwafanya wawe wachovu na wagonjwa. mimba inaweza kuleta madhara hata kuhatarisha uhai.       JE, MWANAMKE ANAWEZA KUFANYA NINI ILI MIMBA YAKE IWE SALAMA ZAIDI ?   Utunzaji wa Kiafya Kabla ya Kuwa  Mjamzito. 1.Kupanga.  Huenda waume na wake wakahitaji kuzungumza kuhusu idadi ya watoto ambao watapata. Katika nchi zinazoendelea,ni kawaida kuwaona wanawake wenye watoto wanaonyonya wakiwa wajawazito. K...

HIATUS HERNIA (NGIRI YA KIFUA)

Hiatus Hernia   ni tundu linalotokea baada ya sehemu ya juu ya mfuko wa kuhifadhia chakula (tumbo) kuingia kwenye sehemu ya kifua kupitia uwazi unaojulikana kama   esophageal hiatus . Kwa kawaida uwazi huu   (esophageal hiatus)   hupitisha mrija wa chakula kwenda kwenye tumbo yaani   esophagus   na si utumbo. Mara nyingi, tatizo hili huonekana kwa takribani ya 60% ya watu wenye umri wa miaka 50 na kuendelea, ingawa pia linaweza kuwapata wale walio na umri wa chini ya huo. Kuna aina mbili kuu za hiatus hernia Sliding type :  Kama jina lake linavyomaanisha, aina hii hutokea iwapo sehemu ya juu ya utumbo inaposukumwa juu na kuingia kwenye upenyo wa  esophagus hiatus  baada ya kutokea kwa ongezeko la presha katika maeneo ya tumbo  (increased pressure in the abdominal cavity)  na kurudi kama kawaida wakati presha inapopungua. Fixing type : Aina hii hutokea iwapo sehemu ya juu ya utumbo inapoku...

UDHAIFU WA MBEGU ZA KIUME

Kama kila ukifanya tendo la ndoa, mwanamke anatoka shahawa/mbegu dakika chache mara baada ya kumaliza tendo la ndoa hata kama hajasimama. Iyo ni dalili mojawapo mbegu za kiume sio bora - soma hadi mwisho mada hii nzuri ili kujua kiundani na suluhisho. UBORA WA MBEGU ZA KIUME (SPERM ANALYSIS). Kawaida kazi ya kiuchunguzi wa UBORA WA MBEGU ZA KIUME hufanyika katika hospitali ambapo mbegu zako za kiume huchukuliwa na kisha kuchunguzwa na daktari mzoefu. Unaweza fanya tendo la ndoa kila siku za hatari na bado usitungishe mimba. Tatizo linaweza kuwa kwa mama au baba au wote wawili.Tumesha yaelezea sana matatizo haya katika mada nyingi ziilizopita hapahapa. Kwa upande wa baba kuna wakati unaweza JITAMBUA KAMA huna mbegu bora kutokana na muonekano wa manii/shahawa zako pamoja na kiasi cha shahawa kinachotoka katika kila tendo moja. SOMA HAPA ILI UJIFUNZE MACHACHE. 1.UWINGI WA MBEGU ZA KIUME: Mbegu za kiume katika kila tendo kamilifu moja linalofanywa zinatakiwa zis...