chukua karikariyat kiasi cha gram mia moja, na uchemshe katika maji lita moja hakikisha umeshamsha mpaka imepungua kidogo. Baada ya hapo utachuja na kuifadhi katika sehemu salama. Matumizi Nusu kikombe kutwa mara tatu kwa mda wa siku7. In shaa llah tatizo litaisha.