Skip to main content

BAWASILI

Hiki ni kinyama kinachotoka ndani ama nje ya tupu kubwa. Kinapotoka nje huitwa bawasili ya nje na kikitoka ndani nayo itakuwa kinyume chake. Zifuatazo ni baadhi ya tiba za bawasili.

Bawasili ya nje
Chukua mafuta ya mbono na upake sehemu ilipotoka na uingize ndani. Baada ya kuingiza ndani utachukua dawa zifuatazo na ujifukize .
- haltit
- kiribiti upele
- shubiri nyeusi
- kamun aswad
- kuzbara
- mvuje
- majani ya toto la yaliyoanguka yenyewe na uyakate vipande vidogovidogo.

Na mgonjwa atachanya zote na kujifukiza sehemu ya haja kubwa mara tatu kwa siku.

Na kama itakuwa ni ya ndani ama ya nje mgonjwa anaweza chukua dawa inayoitwa MAKALARZAK na kuchemsha kisha anywe nusu kikombe kutwa mara tatu mpaka atakapo pata nufuu.

Popular posts from this blog

TIBA YA MTU ALIEINGIWA NA JINNI SUGU.

kabla sijatoa tiba yake, ni lazima ujue unatibu nini na kwanini ni jinni. Maana zipo dalili mbalimbali zinazoonyesha mgonjwa amehusudiwa na jini na ni jini aina gani aliemuingilia muhusika. Zifuatazo ni aina na utaratibu wa kumtibu jini sugu. Dawa za kula. Habbatsaudai Habbatsufa Bakahadi Manimani Uzile Habbat rehani Karkam Halilinji Alhamza Kamun aswad Zamda Khardal Daarfilfil Filfil aswad Haltit Zaatar Harmal Sufa nyeupe Manimani Shomari Udinadi Ulinjani Sakabanji Kamun abyadh Uwatu Giligilani Karafuu Tangawizi Mdalasini Maua waridi Hakikisha dawa hizi umezitwanga na kuwa laini kisha utachukua kijiko kimoja cha kila dawa na kuchanganya kwenye asali safi ya nyuki lita moja na uisomee ruqya na mgonjwa awe anakunywa vijiko viwili mara tatu kwa siku kwa mda wa siku 30. NB Hakikisha wakati mgonjwa anatumia dawa za kula ambatanishe na za kujifukiza pamoja na za kujipaka. DAWA ZA KUFUKIZA kiribiti upele Sandarusi Haltit Karafuu maiti Mruturutu ...

KUONDOSHA MARADHI YA SUBIAN NA KUONDOA WASIWASI

Kwa mtu mwenye matatizo hayo achukue dawa zifuatazo :- - unga wa ambari nyeusi. - unga wa mvuje. - unga wa kitunguu thaum. - mafuta ya uto. - mafuta original ya zaituni. Maelezo Changanya na iwe unajipaka mwili mzima asubuhi na jioni kwa mda wa siku 21.

UTOSI KUINGIA NDANI KWA MTOTO MCHANGA.

chukua manjano mbichi iponde iwe laini sana, kisha chukua pamba na uiweke ile dawa, kisha muekee mtoto mchanga aliena tatizo hilo utosini. In shaa allah utosi utarudi sawa. Utafanya hivyo kwa siku mara moja mpaka tatizo litakapokwisha.