Hiki ni kinyama kinachotoka ndani ama nje ya tupu kubwa. Kinapotoka nje huitwa bawasili ya nje na kikitoka ndani nayo itakuwa kinyume chake. Zifuatazo ni baadhi ya tiba za bawasili.
Bawasili ya nje
Chukua mafuta ya mbono na upake sehemu ilipotoka na uingize ndani. Baada ya kuingiza ndani utachukua dawa zifuatazo na ujifukize .
- haltit
- kiribiti upele
- shubiri nyeusi
- kamun aswad
- kuzbara
- mvuje
- majani ya toto la yaliyoanguka yenyewe na uyakate vipande vidogovidogo.
Na mgonjwa atachanya zote na kujifukiza sehemu ya haja kubwa mara tatu kwa siku.
Na kama itakuwa ni ya ndani ama ya nje mgonjwa anaweza chukua dawa inayoitwa MAKALARZAK na kuchemsha kisha anywe nusu kikombe kutwa mara tatu mpaka atakapo pata nufuu.
Bawasili ya nje
Chukua mafuta ya mbono na upake sehemu ilipotoka na uingize ndani. Baada ya kuingiza ndani utachukua dawa zifuatazo na ujifukize .
- haltit
- kiribiti upele
- shubiri nyeusi
- kamun aswad
- kuzbara
- mvuje
- majani ya toto la yaliyoanguka yenyewe na uyakate vipande vidogovidogo.
Na mgonjwa atachanya zote na kujifukiza sehemu ya haja kubwa mara tatu kwa siku.
Na kama itakuwa ni ya ndani ama ya nje mgonjwa anaweza chukua dawa inayoitwa MAKALARZAK na kuchemsha kisha anywe nusu kikombe kutwa mara tatu mpaka atakapo pata nufuu.