leo ndugu zangu nataka kuzungumzia faidia cheche zitokanazo na tunda hili.
watu wengi wamelichukulia tunda hili huliwa na watu wenye maradhi ama wenye hela zao. Ila kwa ushauri nawaomba tukumbatie tunda hili kwa wingi maana lina faida nyingi sana. Hizi ni baadhi ya faida ya tunda hili:-
- husafisha tumbo.
- huongeza maziwa mengi kwa wanyonyeshaji.
- kusaidia sana kwa wenye maradhi ya mishipa/nerves.
- husaidia sana kwa watu wenye maradhi ya kibofu cha mkojo.
- lozi ni nzuri sana kwa mtu mwenye maradhi ya figo.
- ni nzuri sana kwa wenye maradhi ya kisukari.
- hufungua njia za mkojo.
- lozi hutia nguvu ubongo hasa kwa wenye kusahau sahau na udhaifu wa kumbukumbu.
- mafuta yake ni mazuri kwa mtu mwenye maradhi ya ngozi hutibu.
- mafuta yake ni mazuri kwa mtu aliepooza, hutibu.
- mafuta yake ni mazuri kwa mtu aliyechomeka ngozi, hutibu.
- lozi husaidia kwa mtu mwenye uchache wa mbegu za kiume.
NB tunda hili linatibu maradhi mengi sana.
Kwa ushauri/tiba wasiliana nami
karibuni mombasa kenya
Comments
Post a Comment