Skip to main content

SARATANI YA NGOZI

UGONJWA WA SARATANI YA
kwa undani kuhusu saratani ya ngozi iitwayo Melanoma kwani saratani si tu kwamba ni ugonjwa hatari lakini pia ni ugonjwa unaompa mwanadamu mateso makali kutokana na maumivu
anayoyapata.

Maumivu hayo huyapata mgonjwa bila kujali kama anaugua saratani ya ngozi, ya mifupa, damu, tumbo au ya kizazi. Shida ya maradhi haya ni
kwamba matibabu yake yanahitaji gharama kubwa mno.

Melanoma ni saratani ya hatari
sana kwa maisha ya mwanadamu inapotokea mtu akaipata, basi maisha yake yanakuwa hatarini.

Saratani hii si rahisi kuigundua
ukilinganisha na saratani
nyingine za ngozi lakini pia
husambaa haraka zaidi mwilini
kuliko saratani nyingine za
ngozi.

Melanoma huweza kusambaa na
kushambulia viungo vingine zaidi
ya ngozi kama mifupa na ubongo.

Inapofikia hatua hii saratani hii inakuwa ngumu sana kutibika.

Dalili.

Dalili za saratani hii zipo nyingi
na ni vema kila mtu afahamu,
mojawapo ni kubadilika kwa
ukubwa, rangi au ule muundo wa
alama ya ngozi ambayo mtu
amekuwa nayo kwa muda mrefu
au umezaliwa nayo. Alama hii ni
ile ambayo ina rangi nyeusi zaidi
ukilinganisha na maeneo
mengine ya ngozi.

Mabadiliko haya si lazima yawe
yanatokea haraka haraka
yanaweza kuwa yanatokea
taratibu, hivyo kila mwenye baka
anatakiwa kujichunguza ili kuona
kama kuna  mabadiliko kwenye
alama hiyo ya ngozi.

Ni muhimu sana kutambua
mabadiliko haya. Mabadiliko
mengine ni kama yafuatayo,
alama hii inaweza kuwa
inavimba, kingo zake zinapoteza
mzingo wake wa kawaida, alama
inakua zaidi kwa eneo kwa
mfano kutoka mzingo wa 4 mm
na kuwa kubwa na kuzidi 6 mm.
Dalili nyingine ni alama kuanza
kuwasha na kama mgonjwa
atachelewa kugundua tatizo basi
zitajitokeza alama kwenye ngozi
ambayo itapasuka na kuwa
kidonda.

Alama hiyo baadaye inaweza
ikawa inatoa damu na kuwa na
maumivu.

Kama matibabu hayatafanyika
basi saratani hii husambaa na
dalili zifuatazo huweza
kuonekana :

Tezi za mwili za kwenye
makwapa na kwenye nyonga
huvimba, mgonjwa atatokwa na
uvimbe kwenye ngozi, atapoteza
uzito kwa kasi bila kujua sababu,
atapata kikohozi kisichoisha,
atapoteza fahamu au kupata
kifafa,  ataumwa kichwa kuuma.

TIBA.

Kuna tiba nyingi za kitabibu,
zilizogawanyika katika makundi
mbalimbali. Kuna zile za
hospitali ambazo ni lazima
zinunuliwe, lakini kuna tiba
ambazo kwa ushauri wa daktari
hata wewe unaweza kuziandaa
bila kutumia gharama kubwa.

Moja ya tiba hizo ni kunywa maji
ya moto ambayo yanatibu
magonjwa mengi ikiwemo figo,
kutoa sumu mwilini, kuyeyusha
mafuta tumboni, kurahisisha
mzunguko wa damu, kuondoa
sumu kwenye ubongo na
kusafisha haja ndogo.

Kunywa maji ya moto kila
unapotaka kwenda kufanya kazi
ya nguvu au mazoezi iwe kama
kinga na inashauriwa kila siku
mtu anywe glasi nane ili kutoa
taka na kila kisichotakiwa kubaki
mwilini, kupitia jasho au mkojo.

Ushauri.

Ushauri ni kuwa ukiwa na alama
yoyote mwilini inayokuwa
kamuone daktari haraka.
kwa tiba wasiliana nami

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA FANGASI UKENI.

Fangasi ukeni ni muwasho sehemu ya ndani ya uke ambao unaweza kuambatana pia na kuvimba kwa uke. Leo sitaongelea sana juu ya nini kinasababisha hizi fangasi sehemu ya uke bali tutaona dozi kamili ya asili inayoweza kutibu kabisa tatizo hili linalosumbuwa wanawake wengi miaka sasa. Tumia dawa hizi 3 zote kwa pamoja ili kupata matokeo mazuri na usiache kuleta mrejesho hapa namna unavyoendelea: 1. LEMONADE Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau, maji, asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi: *Chukua asali mbichi nusu Lita *Chukua limau kubwa 12 au zaidi, zikate katikati kila moja. Zikamuwe moja baada ya nyingine kupata maji maji ya limau mpaka umepata ujazo wa nusu lita. *Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya mdalasini ya unga vijiko vikubwa 10 na maji lita 2 na nusu na uchemshe kama chai kisha ipua na uchuje na usubiri ipowe iwe ya uvuguvugu kidogo. *Sasa changanya pamoja asali nusu lita, juisi au maji maji ya limau nusu lita, maji ya uvuguvugu ya m...

TIBA YA MTU ALIEINGIWA NA JINNI SUGU.

kabla sijatoa tiba yake, ni lazima ujue unatibu nini na kwanini ni jinni. Maana zipo dalili mbalimbali zinazoonyesha mgonjwa amehusudiwa na jini na ni jini aina gani aliemuingilia muhusika. Zifuatazo ni aina na utaratibu wa kumtibu jini sugu. Dawa za kula. Habbatsaudai Habbatsufa Bakahadi Manimani Uzile Habbat rehani Karkam Halilinji Alhamza Kamun aswad Zamda Khardal Daarfilfil Filfil aswad Haltit Zaatar Harmal Sufa nyeupe Manimani Shomari Udinadi Ulinjani Sakabanji Kamun abyadh Uwatu Giligilani Karafuu Tangawizi Mdalasini Maua waridi Hakikisha dawa hizi umezitwanga na kuwa laini kisha utachukua kijiko kimoja cha kila dawa na kuchanganya kwenye asali safi ya nyuki lita moja na uisomee ruqya na mgonjwa awe anakunywa vijiko viwili mara tatu kwa siku kwa mda wa siku 30. NB Hakikisha wakati mgonjwa anatumia dawa za kula ambatanishe na za kujifukiza pamoja na za kujipaka. DAWA ZA KUFUKIZA kiribiti upele Sandarusi Haltit Karafuu maiti Mruturutu ...

KICHOMI

  Kichomi   ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya. Ukipatwa muda mrefu au kila wakati ; basi, chunguza zaidi. Kichomi husababishwa au kinaweza kuwa. Dalili ya matatizo ya tumbo lenye asidi (acid) kuzidi Dalili za ugonjwa wa moyo uitwao Ischemic Jambo la kuangalia ni je? Unashikwa kichomi ukiwa unatembea? Umeinama au umelala Ukishakula chakula Kama unapatwa kichomi wakati ukitembea au ukishafanya mazoezi makali ina maana kuna tatizo la damu kuingia sawasawa au kuzunguka (circulation) katika moyo. Kama unapatwa kichomi baada ya kula ina maana kuna tatizo katika chakula unachokula. Je mlo wako una acid(uchachu) sana? Je, unakula vyakula vyenye pilipili na binzari(spices) kwa wingi sana? Kama una kula sana vyakula vyenye asidi ina maana tumbo lako halimeng’enyui sawasawa linachoka. Kawaida binadamu unabidi kubadili badili ulaji. Usirudie vitu fulani fulani kila siku. Mathalan usiweke pilipili katika kila mlo. Tatizo ji...